Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Nitazame na unijibu, Ee Yehova Mungu wangu.

      Yatie nuru macho yangu, ili nisilale usingizi katika kifo,

  • Yohana 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baada ya kusema hayo, akawaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi,+ lakini ninasafiri kwenda huko ili kumwamsha.”

  • Matendo 7:59, 60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki