Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kama vile ambavyo hakuna mtu aliye na nguvu juu ya roho* au anayeweza kuizuia roho, vivyo hivyo hakuna yeyote aliye na nguvu juu ya siku ya kufa.+ Kama vile ambavyo hakuna yeyote anayeruhusiwa kurudi nyumbani wakati wa vita, vivyo hivyo uovu hautawaruhusu wale wanaozoea kuutenda waponyoke.*

  • Isaya 57:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana sitawapinga milele

      Wala kuwa na hasira daima;+

      Kwa sababu roho ya mwanadamu itadhoofika kwa sababu yangu,+

      Hata viumbe wanaopumua ambao niliwaumba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki