11 Je, mafunjo yanaweza kusitawi katika eneo lisilo na umajimaji?
Je, utete unaweza kusitawi bila maji?
12 Hata kabla haujachanua, kabla haujakatwa,
Utakauka kabla ya mmea mwingine wowote.
13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa wote wanaomsahau Mungu,
Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu litapotea,