Ayubu 13:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini ninyi mnanipaka uwongo;Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa kitu.+ 5 Laiti mngenyamaza kabisa,Mngeonekana kuwa wenye hekima.+ Ayubu 19:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mtaendelea kunikasirisha* mpaka lini,+Na kuniponda kwa maneno?+ 3 Mmenikemea* mara kumi sasa;Mnanitesa bila aibu.+
4 Lakini ninyi mnanipaka uwongo;Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa kitu.+ 5 Laiti mngenyamaza kabisa,Mngeonekana kuwa wenye hekima.+
2 “Mtaendelea kunikasirisha* mpaka lini,+Na kuniponda kwa maneno?+ 3 Mmenikemea* mara kumi sasa;Mnanitesa bila aibu.+