Zaburi 88:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana nafsi* yangu imejaa msiba,+Na uhai wangu uko kwenye kingo za Kaburi.*+ 4 Tayari nimehesabiwa miongoni mwa wale wanaoshuka shimoni;*+Nimekuwa mtu asiye na uwezo wowote,*+ Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nilisema: “Katikati ya maisha yanguLazima niingie katika malango ya Kaburi.* Nitanyimwa miaka yangu iliyobaki.”
3 Kwa maana nafsi* yangu imejaa msiba,+Na uhai wangu uko kwenye kingo za Kaburi.*+ 4 Tayari nimehesabiwa miongoni mwa wale wanaoshuka shimoni;*+Nimekuwa mtu asiye na uwezo wowote,*+ Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nilisema: “Katikati ya maisha yanguLazima niingie katika malango ya Kaburi.* Nitanyimwa miaka yangu iliyobaki.”
10 Nilisema: “Katikati ya maisha yanguLazima niingie katika malango ya Kaburi.* Nitanyimwa miaka yangu iliyobaki.”