8 Alipita barabarani karibu na njia panda anapoishi mwanamke huyo,
Naye akashika njia inayoelekea nyumbani kwa mwanamke huyo
9 Jioni wakati wa gizagiza,+
Usiku na giza linapoingia.
10 Kisha nikamwona mwanamke akija kukutana naye,
Akiwa amevaa kama kahaba,+ mwenye moyo mjanja.