Isaya 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtafanya nini katika siku ya kuadhibiwa,*+Uharibifu utakapokuja kutoka mbali?+ Mtamkimbilia nani ili kupata msaada+Nanyi mtauacha wapi utajiri* wenu? Amosi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwenye mbio hatakuwa na mahali pa kukimbilia,+Mwenye nguvu hatabaki na nguvu zake,Na hakuna shujaa atakayeokoa uhai wake.*
3 Mtafanya nini katika siku ya kuadhibiwa,*+Uharibifu utakapokuja kutoka mbali?+ Mtamkimbilia nani ili kupata msaada+Nanyi mtauacha wapi utajiri* wenu?
14 Mwenye mbio hatakuwa na mahali pa kukimbilia,+Mwenye nguvu hatabaki na nguvu zake,Na hakuna shujaa atakayeokoa uhai wake.*