20 Na mambo mengine katika historia ya Hezekia, ukuu wake wote na jinsi alivyotengeneza kile kidimbwi+ na ule mfereji na kuleta maji jijini,+ je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda?
30 Hezekia ndiye aliyeziba chemchemi ya juu ya maji+ ya Gihoni+ na kuyaelekeza moja kwa moja chini upande wa magharibi katika Jiji la Daudi,+ na Hezekia alifanikiwa katika kila kazi aliyofanya.