Methali 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha mtu wa hali ya chiniYeye mwenyewe ataita naye hatajibiwa.+ Methali 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waokoe wale wanaopelekwa kwenye kifo,Na uwazuie wale wanaopepesuka wakielekea kuchinjwa.+
13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha mtu wa hali ya chiniYeye mwenyewe ataita naye hatajibiwa.+