Ayubu 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Ayubu akachukua kigae na kukitumia kujikuna, naye aliketi kwenye majivu.+ Ayubu 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha wakaketi ardhini pamoja naye kwa siku saba, mchana na usiku. Hakuna yeyote kati yao aliyemwambia neno lolote kwa sababu waliona kwamba alikuwa na maumivu makali sana.+ Ayubu 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninapolala mimi huuliza, ‘Nitaamka wakati gani?’+ Lakini kadiri usiku unavyojikokota, ndivyo ninavyogaagaa hadi alfajiri.*
13 Kisha wakaketi ardhini pamoja naye kwa siku saba, mchana na usiku. Hakuna yeyote kati yao aliyemwambia neno lolote kwa sababu waliona kwamba alikuwa na maumivu makali sana.+
4 Ninapolala mimi huuliza, ‘Nitaamka wakati gani?’+ Lakini kadiri usiku unavyojikokota, ndivyo ninavyogaagaa hadi alfajiri.*