57 Mwadilifu ameangamia,
Lakini hakuna yeyote anayetia jambo hilo moyoni.
Watu washikamanifu wanaondolewa,+
Na hakuna mtu anayetambua kwamba mwadilifu ameondolewa
Kwa sababu ya msiba.
2 Yeye huingia katika amani.
Wanapumzika vitandani mwao, wote wanaotembea kwa unyoofu.