24 Hata hivyo, baada ya miezi mitatu hivi, Yuda aliambiwa: “Tamari binti mkwe wako amefanya ukahaba, na pia amepata mimba kwa sababu ya ukahaba wake.” Yuda akasema: “Mtoeni nje achomwe moto.”+
10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+
22 “Mwanamume akipatikana akifanya ngono na mke wa mwanamume mwingine, ni lazima wote wawili wauawe pamoja, mwanamume huyo pamoja na mwanamke aliyefanya naye ngono.+ Kwa hiyo ni lazima mwondoe uovu katika Israeli.