Mathayo 12:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uzao wa nyoka,*+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu? Kwa maana kinywa husema mambo yaliyojaa moyoni.+ Luka 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Mtu mwema hutoa mambo mema kwenye hazina njema ya moyo wake, lakini mtu mwovu hutoa maovu kwenye hazina yake mbovu; kwa maana kinywa husema mambo yaliyojaa moyoni.+
34 Uzao wa nyoka,*+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu? Kwa maana kinywa husema mambo yaliyojaa moyoni.+
45 Mtu mwema hutoa mambo mema kwenye hazina njema ya moyo wake, lakini mtu mwovu hutoa maovu kwenye hazina yake mbovu; kwa maana kinywa husema mambo yaliyojaa moyoni.+