Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+ Zaburi 38:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimekufa ganzi na kupondeka kabisa;Moyo wangu wenye maumivu makali unanifanya nilie kwa sauti kubwa.*
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+
8 Nimekufa ganzi na kupondeka kabisa;Moyo wangu wenye maumivu makali unanifanya nilie kwa sauti kubwa.*