Ayubu 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nilivaa uadilifu kama mavazi yangu;Haki yangu ilikuwa kama joho* na kilemba. Ayubu 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Mimi ni safi, sina dhambi;+Mimi ni safi, sina kosa.+