Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi hofu ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana Yehova Mungu wetu hana ukosefu wa haki,+ hana ubaguzi,+ wala hapokei rushwa.”+

  • Matendo 10:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ndipo Petro akaanza kuzungumza, akasema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+

  • Waroma 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Mungu hana ubaguzi.+

  • Waefeso 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea kwa njia hiyohiyo, bila kuwatisha, kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu pia yuko mbinguni,+ naye hana ubaguzi wowote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki