Methali 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+ Amosi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengiNa jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa—Mnawanyanyasa waadilifu,Mnapokea rushwa,*Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+
22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+ Amosi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengiNa jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa—Mnawanyanyasa waadilifu,Mnapokea rushwa,*Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+
12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengiNa jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa—Mnawanyanyasa waadilifu,Mnapokea rushwa,*Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+