Danieli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+ Waroma 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+
7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+