Methali 1:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakati huo wataendelea kuniita, lakini sitajibu;Watanitafuta kwa bidii, lakini hawatanipata,+29 Kwa sababu walichukia ujuzi,+Nao hawakuchagua kumwogopa Yehova.+ 1 Petro 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi nyote mtendeane kwa* unyenyekevu,* kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+
28 Wakati huo wataendelea kuniita, lakini sitajibu;Watanitafuta kwa bidii, lakini hawatanipata,+29 Kwa sababu walichukia ujuzi,+Nao hawakuchagua kumwogopa Yehova.+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi nyote mtendeane kwa* unyenyekevu,* kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+