Zaburi 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mfalme huyu mtukufu ni nani? Yehova, mwenye nguvu na hodari,+Yehova, hodari katika vita.+ Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo. Yeremia 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wewe unayewatendea kwa upendo mshikamanifu maelfu ya watu, lakini unawaadhibu wana kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ Mungu wa kweli, uliye mkuu na Mwenye nguvu, ambaye jina lako ni Yehova wa majeshi.
4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo.
18 Wewe unayewatendea kwa upendo mshikamanifu maelfu ya watu, lakini unawaadhibu wana kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ Mungu wa kweli, uliye mkuu na Mwenye nguvu, ambaye jina lako ni Yehova wa majeshi.