Ayubu 38:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Barafu ilitoka kwenye tumbo la uzazi la nani,Na ni nani aliyeizaa theluji ya mbinguni+30 Maji yanapofunikwa kana kwamba na jiwe,Na sehemu ya juu ya vilindi vya maji inapoganda kabisa?+
29 Barafu ilitoka kwenye tumbo la uzazi la nani,Na ni nani aliyeizaa theluji ya mbinguni+30 Maji yanapofunikwa kana kwamba na jiwe,Na sehemu ya juu ya vilindi vya maji inapoganda kabisa?+