Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+ Hosea 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sitamwaga hasira yangu inayowaka. Sitawaangamiza tena Waefraimu,+Kwa maana mimi ni Mungu, mimi si mwanadamu,Mtakatifu aliye miongoni mwenu;Nami sitawashambulia kwa hasira.
2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+
9 Sitamwaga hasira yangu inayowaka. Sitawaangamiza tena Waefraimu,+Kwa maana mimi ni Mungu, mimi si mwanadamu,Mtakatifu aliye miongoni mwenu;Nami sitawashambulia kwa hasira.