Zaburi 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dunia yote na imwogope Yehova.+ Wakaaji wa nchi* na wamhofu. Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+ Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi;*+ badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena.*+
28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi;*+ badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena.*+