Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Samweli akamwomba Yehova, naye Yehova akaleta ngurumo na mvua siku hiyo, hivi kwamba watu wote wakamwogopa sana Yehova na pia Samweli.

  • Isaya 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye ataleta mvua kwa ajili ya mbegu mtakazopanda ardhini,+ na chakula* kitakachotoka ardhini kitakuwa kingi na chenye lishe.*+ Siku hiyo mifugo yenu italisha katika malisho makubwa.+

  • Yeremia 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao hawasemi moyoni mwao:

      “Sasa na tumwogope Yehova Mungu wetu,

      Yule anayeleta mvua katika majira yake,

      Mvua ya vuli na mvua ya masika,

      Yule anayetulindia majuma yaliyowekwa ya mavuno.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki