Ayubu 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini mimi, ni afadhali nizungumze na Mweza-Yote mwenyewe;Ninatamani kujitetea mbele za Mungu.+ Ayubu 23:3-5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Laiti ningejua mahali ninapoweza kumpata Mungu!+ Ningeenda mahali anapoishi.+ 4 Ningepeleka kesi yangu mbele zakeNa kujaza hoja za kujitetea kinywani mwangu; 5 Ningefahamu jinsi ambavyo angenijibuNa kutilia maanani anayoniambia. Ayubu 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Laiti mtu fulani angenisikiliza!+ Ningeweka sahihi ya jina langu kwenye mambo niliyosema!* Mweza-Yote na anijibu!+ Laiti mshtaki wangu angeandika mashtaka yangu kwenye hati!
3 Laiti ningejua mahali ninapoweza kumpata Mungu!+ Ningeenda mahali anapoishi.+ 4 Ningepeleka kesi yangu mbele zakeNa kujaza hoja za kujitetea kinywani mwangu; 5 Ningefahamu jinsi ambavyo angenijibuNa kutilia maanani anayoniambia.
35 Laiti mtu fulani angenisikiliza!+ Ningeweka sahihi ya jina langu kwenye mambo niliyosema!* Mweza-Yote na anijibu!+ Laiti mshtaki wangu angeandika mashtaka yangu kwenye hati!