Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 akasema:

      “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu, je, wewe si Mungu mbinguni;+ je, huna mamlaka juu ya falme zote za mataifa?+ Mkononi mwako mna nguvu na uwezo, na hakuna anayeweza kushindana nawe.+

  • Danieli 4:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu, naye hufanya kulingana na mapenzi yake mwenyewe miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakaaji wa dunia. Na hakuna yeyote anayeweza kumzuia*+ au kumuuliza, ‘Umefanya nini?’+

  • Matendo 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo, ikiwa Mungu aliwapa zawadi ileile ya bure kama alivyotupatia sisi ambao tumemwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani hata niweze kumzuia* Mungu?”+

  • Waroma 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo utaniuliza: “Kwa nini bado analaumu? Kwa maana ni nani ambaye amepinga mapenzi yake?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki