Kumbukumbu la Torati 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazameni, mbingu, hata mbingu za mbingu* ni mali ya Yehova Mungu wenu, pamoja na dunia na vitu vyote vilivyomo.+ Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova,+Nchi inayozaa na wale wanaokaa ndani yake. Zaburi 50:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ningekuwa na njaa, nisingekwambia,Kwa maana nchi inayozaa na kila kitu kilichomo ni changu.+ 1 Wakorintho 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 kwa maana “dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova.”*+
14 Tazameni, mbingu, hata mbingu za mbingu* ni mali ya Yehova Mungu wenu, pamoja na dunia na vitu vyote vilivyomo.+