Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazameni, mbingu, hata mbingu za mbingu* ni mali ya Yehova Mungu wenu, pamoja na dunia na vitu vyote vilivyomo.+

  • Zaburi 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova,+

      Nchi inayozaa na wale wanaokaa ndani yake.

  • Zaburi 50:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ningekuwa na njaa, nisingekwambia,

      Kwa maana nchi inayozaa na kila kitu kilichomo ni changu.+

  • 1 Wakorintho 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 kwa maana “dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki