Ayubu 14:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ikiwa siku zake zinajulikana,Basi unajua idadi ya miezi yake;Umemwekea mpaka ambao hawezi kuvuka.+ 6 Yageuzie mbali macho yako ili apumzike,Mpaka atakapomaliza siku yake, kama kibarua.+ Zaburi 39:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ee Yehova, nisaidie kujua mwisho wangu,Na idadi ya siku zangu,+Ili nijue ufupi wa maisha yangu.*
5 Ikiwa siku zake zinajulikana,Basi unajua idadi ya miezi yake;Umemwekea mpaka ambao hawezi kuvuka.+ 6 Yageuzie mbali macho yako ili apumzike,Mpaka atakapomaliza siku yake, kama kibarua.+