4 “Yehova Mungu wenu atakapowafukuza kutoka mbele yenu, msiseme hivi mioyoni mwenu: ‘Yehova amenileta ili nimiliki nchi hii kwa sababu ya uadilifu wangu mwenyewe.’+ Badala yake, Yehova anayafukuza mataifa hayo+ kutoka mbele yenu kwa sababu ya uovu wao.