Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+ Zaburi 59:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mungu anayenitendea kwa upendo mshikamanifu atanisaidia;+Mungu ataniwezesha niwatazame maadui wangu wakishindwa.+
34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+
10 Mungu anayenitendea kwa upendo mshikamanifu atanisaidia;+Mungu ataniwezesha niwatazame maadui wangu wakishindwa.+