2 Samweli 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha Daudi akaambiwa hivi: “Ahithofeli ni miongoni mwa watu wanaopanga njama+ pamoja na Absalomu.”+ Daudi akasema: “Ee Yehova,+ tafadhali badili ushauri wa Ahithofeli uwe upumbavu!”+ 2 Samweli 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Hushai akamwambia Absalomu: “Wakati huu, ushauri uliotolewa na Ahithofeli si mzuri!”+
31 Kisha Daudi akaambiwa hivi: “Ahithofeli ni miongoni mwa watu wanaopanga njama+ pamoja na Absalomu.”+ Daudi akasema: “Ee Yehova,+ tafadhali badili ushauri wa Ahithofeli uwe upumbavu!”+