Waroma 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa nini unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.+ Ufunuo 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikaona kiti cha ufalme kikubwa cheupe na Yule aliyeketi juu yake.+ Dunia na mbingu zikatoweka kutoka mbele zake,+ na hazikupatikana tena.
10 Lakini kwa nini unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.+
11 Nami nikaona kiti cha ufalme kikubwa cheupe na Yule aliyeketi juu yake.+ Dunia na mbingu zikatoweka kutoka mbele zake,+ na hazikupatikana tena.