Yeremia 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakasema: “Njooni, tupange njama dhidi ya Yeremia,+ kwa maana sheria haitatoweka* kutoka kwa makuhani wetu au shauri kutoka kwa watu wenye hekima au neno kutoka kwa manabii. Njooni tumshambulie kwa maneno,* nasi tusisikilize anachosema.”
18 Nao wakasema: “Njooni, tupange njama dhidi ya Yeremia,+ kwa maana sheria haitatoweka* kutoka kwa makuhani wetu au shauri kutoka kwa watu wenye hekima au neno kutoka kwa manabii. Njooni tumshambulie kwa maneno,* nasi tusisikilize anachosema.”