Mhubiri 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia nimeona jambo hili chini ya jua: Badala ya haki kulikuwa na uovu, na badala ya uadilifu kulikuwa na uovu.+ Mika 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sikieni jambo hili, tafadhali, enyi viongozi wa nyumba ya YakoboNanyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+Mnaochukia haki na kupotosha mambo yote yaliyonyooka,+
16 Pia nimeona jambo hili chini ya jua: Badala ya haki kulikuwa na uovu, na badala ya uadilifu kulikuwa na uovu.+
9 Sikieni jambo hili, tafadhali, enyi viongozi wa nyumba ya YakoboNanyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+Mnaochukia haki na kupotosha mambo yote yaliyonyooka,+