1 Samweli 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baadaye Sauli akazungumza na Yonathani mwana wake na watumishi wake wote kuhusu kumuua Daudi.+ Zaburi 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hungojea mahali alipojificha kama simba katika pango* lake.+ Hungojea ili amkamate asiye na uwezo. Humkamata asiye na uwezo anapouvuta wavu wake na kuufunga.+ Zaburi 71:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Maadui wangu wanasema mambo mabaya kunihusu,Na wale wanaotaka kuniua* wanapanga njama pamoja,+
9 Hungojea mahali alipojificha kama simba katika pango* lake.+ Hungojea ili amkamate asiye na uwezo. Humkamata asiye na uwezo anapouvuta wavu wake na kuufunga.+