Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baadaye Sauli akazungumza na Yonathani mwana wake na watumishi wake wote kuhusu kumuua Daudi.+

  • Zaburi 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hungojea mahali alipojificha kama simba katika pango* lake.+

      Hungojea ili amkamate asiye na uwezo.

      Humkamata asiye na uwezo anapouvuta wavu wake na kuufunga.+

  • Zaburi 71:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Maadui wangu wanasema mambo mabaya kunihusu,

      Na wale wanaotaka kuniua* wanapanga njama pamoja,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki