2 Samweli 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni lazima tuwe imara na jasiri+ kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya majiji ya Mungu wetu, naye Yehova atafanya yaliyo mema machoni pake.”+ Zaburi 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nguvu zako tutawafukuza maadui wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaoinuka dhidi yetu.+
12 Ni lazima tuwe imara na jasiri+ kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya majiji ya Mungu wetu, naye Yehova atafanya yaliyo mema machoni pake.”+
5 Kwa nguvu zako tutawafukuza maadui wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaoinuka dhidi yetu.+