Zaburi 7:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mungu ni Mwamuzi mwadilifu,+Na Mungu huzitangaza hukumu zake* kila siku. 12 Mtu yeyote asipotubu,+ Yeye huunoa upanga wake;+Huukunja upinde wake na kuuweka tayari.+
11 Mungu ni Mwamuzi mwadilifu,+Na Mungu huzitangaza hukumu zake* kila siku. 12 Mtu yeyote asipotubu,+ Yeye huunoa upanga wake;+Huukunja upinde wake na kuuweka tayari.+