23 lakini ninaona ndani ya mwili wangu* sheria nyingine ikipigana na sheria ya akili yangu+ na kunichukua mateka kwa sheria ya dhambi+ iliyo ndani ya mwili wangu.*24 Maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa kutoka katika mwili unaopatwa na kifo hiki?
17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho, na roho inapingana na mwili; vitu hivyo vinapingana, hivi kwamba hamfanyi mambo mnayotaka kufanya.+