Zaburi 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+Nitainuka na kutenda,” asema Yehova. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”* Zaburi 72:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na awalinde* watu wa hali ya chini miongoni mwa mataifa,Na awaokoe watoto* wa mtu maskini,Na amponde mpunjaji.+
5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+Nitainuka na kutenda,” asema Yehova. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”*
4 Na awalinde* watu wa hali ya chini miongoni mwa mataifa,Na awaokoe watoto* wa mtu maskini,Na amponde mpunjaji.+