Kumbukumbu la Torati 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye Ndiye mnayepaswa kumsifu.+ Yeye ni Mungu wenu, ambaye amewafanyia mambo haya makuu na yenye kuogopesha mliyoyaona kwa macho yenu wenyewe.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
21 Yeye Ndiye mnayepaswa kumsifu.+ Yeye ni Mungu wenu, ambaye amewafanyia mambo haya makuu na yenye kuogopesha mliyoyaona kwa macho yenu wenyewe.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+