Zaburi 147:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwimbieni Yehova kwa shukrani;Mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi, 8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,Yeye anayeiletea dunia mvua,+Yeye anayechipusha majani+ milimani.
7 Mwimbieni Yehova kwa shukrani;Mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi, 8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,Yeye anayeiletea dunia mvua,+Yeye anayechipusha majani+ milimani.