Isaya 55:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ninyi mtatoka nje kwa shangwe,+Nanyi mtarudishwa kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+Na miti yote ya msituni itapiga makofi.+
12 Kwa maana ninyi mtatoka nje kwa shangwe,+Nanyi mtarudishwa kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+Na miti yote ya msituni itapiga makofi.+