Isaya 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,Ninyi visiwa na wakaaji wake.+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”
10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,Ninyi visiwa na wakaaji wake.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”