1 Samweli 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu akiinuka ili akufuatie na kuutafuta uhai wako,* Yehova Mungu wako atakuwa ameufungia salama uhai wako* katika mfuko wa uzima, bwana wangu, lakini atautupa mbali uhai wa maadui wako kama mawe yanavyotupwa kwa kombeo.
29 Mtu akiinuka ili akufuatie na kuutafuta uhai wako,* Yehova Mungu wako atakuwa ameufungia salama uhai wako* katika mfuko wa uzima, bwana wangu, lakini atautupa mbali uhai wa maadui wako kama mawe yanavyotupwa kwa kombeo.