Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia.

      Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+

  • Zaburi 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee Msikiaji wa sala, watu wa kila aina* watakujia.+

  • Zaburi 116:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 116 Ninampenda Yehova

      Kwa sababu yeye huisikia* sauti yangu, sihi zangu za kuomba msaada.+

  • 1 Yohana 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki