Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Msikiaji wa sala, watu wa kila aina* watakujia.+ Zaburi 116:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Ninampenda YehovaKwa sababu yeye huisikia* sauti yangu, sihi zangu za kuomba msaada.+ 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.
22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.