Hesabu 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova na awaangazie nuru ya uso wake,+ na kuwapa kibali chake. Methali 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima;Kibali chake ni kama wingu la mvua wakati wa masika.+