Zaburi 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Yehova. Familia zote za mataifa zitainama chini mbele zako.+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”
27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Yehova. Familia zote za mataifa zitainama chini mbele zako.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”