10 Kisha akampa mfalme talanta 120* za dhahabu na kiasi kikubwa sana cha mafuta ya zeri+ na mawe yenye thamani.+ Mfalme Sulemani hakuwahi tena kuletewa kiasi kikubwa hivyo cha mafuta ya zeri kama alicholetewa na malkia wa Sheba.
23 Na watu wengi wakamletea Yehova zawadi huko Yerusalemu na kumletea Mfalme Hezekia wa Yuda vitu bora,+ naye akaheshimiwa sana na mataifa yote baada ya mambo hayo.