Zaburi 47:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha;+Yeye ndiye Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+ Zaburi 66:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Njooni mwone kazi za Mungu. Mambo aliyowatendea wanadamu yanaogopesha.+
2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha;+Yeye ndiye Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+