Isaya 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova anasema hivi: “Wakati wa kibali* nilikujibu,+Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+Ili kuitengeneza upya nchi,Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.
8 Yehova anasema hivi: “Wakati wa kibali* nilikujibu,+Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+Ili kuitengeneza upya nchi,Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.
7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.